
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi π΅πͺπ΅πͺ
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
Kiungo Philippe Coutinho ameomba kuondoka Liverpool" ili kutimiza ndoto yake ya kuhamia Barcelona kwa mujibu wa taarifa.
Kiungo huyo Mbrazili amekuwa akihusishwa na kutaka kujiunga na miamba hiyo ya Catalans tangu mwanzo wa msimu huu.
Lakini Liverpool chini ya kocha Jurgen Klopp wamesisitiza kuwa kiungo huyo mwenye miaka 25 hatoondoka msimu huu.
Gazeti la Mundo Deportivo limeripoti kuwa Barcelona imekuwa na mawasiliano ya mara kwa mara na Liverpool wakati kiungo huyo kiendelea kuomba kuondoka.
Miamba hiyo ya Hispania imeongeza presha ya kumtaka mchezaji huyo katika usajili wa dirisha dogo mwezi ujao.
Wakati Coutinho akiaminika kuwa ndiyo chaguo la kwanza la kocha wa Barca, Ernesto Valverde, gazeti la SunSport limeripoti kuwa miamba hiyo ya Hispania wanaweza kugeukia kwa kiungo wa Arsenal, Mesut Ozil kama wakishindwa kumnasa Coutimho.
Coutinho alitaka kuhamia Hispania mwanzo wa msimu huu baada ua miamba hiyo ya Catalan kuuza Neymar kwa Paris Saint-Germain kwa uhamisho uliovunja rekodi wa pauni 200 milioni.
Post A Comment: