
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi π΅πͺπ΅πͺ
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
Simba ipo Afrika Kusini, kujiandaa na msimu mpya wa mwaka 2017/18 lakini hali ya hewa ya huko ni ya baridi kama wachezaji wanavyokiri na kuifurahia kwamba imewawezesha kufanya mazoezi kwa muda mrefu.
Yusuph Mlipili ni beki mpya wa Simba ambaye ameanza kula matunda ya timu hiyo kwa kusafiri kwenda nje ya nchi, amekiri kwamba kuna baridi kali, lakini linawasaidia kufanya mazoezi kwa muda mrefu kwa ajili ya pumzi.
"Ni baridi ili tunafurahia kwani mazoezi tunafanya kwa muda mrefu bila kuchoka, naamini yatatufanya tuwe fiti tayari kwa kazi ya msimu unaokuja," alisema.
Naye kiungo wa timu hiyo, Mzamiru Yasini alisema wanafurahia kambi waliyoweka nchini humo kwani inawafanya kuwa watulivu na kujijenga kisaikolojia kwa kazi iliyo mbele yao.
"Tunajipanga kwani tunajua ushindani utakaokuwepo dhidi ya wapinzani wetu, naamini tutarejea na kitu kipya zaidi," alisema.
Post A Comment: