Barcelona imemgeukia kwa mara nyingine kiungo mshambuliaji wa Liverpool, Philippe Coutinho, safari ikimtengea Pauni 130 milioni na mshahara mnono.


Barcelone imerejea Liverpool kwa maa ya tatu, baada ya dau lake la awali kukataliwa na klabu hiyo inayoshiriki Ligi Kuu England.

Mbali na kutaka kumngoa kwa dau kubwa, Barcelona imepanga kumpa mshahara wa Pauni 137,000 kwa wiki ili kupata saini ya nyota huyo katika dirisha la usajili Januari, mwakani.

Barcelona imemuweka sokoni mchezaji Arda Turan ili kupata fedha za kumsajili nyota huyo wa kimataifa wa Brazil.

Endapo Barcelona itakosa saini ya kiungo huyo, imesema itamfuata katika usajili ujao wa majira ya kiangazi. Paris Saint Germain (PSG) nayo imejitosa kuwania saini ya Coutinh
ads
Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya SWAHILI NEWS kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka
Share To:

SWAHIBA MEDIA STAFF

Habari , karibu katika mtandao wetu ili kuhabarika na stori zote za siku katika lugha yetu adhwim ya kiswahili, habarika wakati wote weka dunia kiganjani mwako na swahili news

Post A Comment: