
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi π΅πͺπ΅πͺ
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
Kiungo Eden Hazard amekiri kuwa kucheza chini ya kocha wa Real Madrid, Zinedine Zidane ndiyo lengo lake katika siku za usoni.
Winga huyo wa Chelsea amekuwa akihusishwa na kutaka kuhamia Santiago Bernabeu kila wakati, tangu akiwa na Lille.
Japokuwa kwa sasa hafikiri kuhusu uhamisho huo, lakini Hazard amekiri kuwa ndoto yake kucheza chini ya mtu anayemvutia zaidi tangu utoto wake.
"Kila mtu anajua heshima niliyokuwa nayo kwa Zidane kama mchezaji, pia kama kocha ni mtu ninayemvutia," aliimbia RTL.
"Sijui nini kitatokea katika maisha yangu ya soka ya baadaye, lakini itakuwa ni ndoto yangu kucheza chini ya Zidane.
"Lakini kwa sasa nafurahi maisha yangu Chelsea. Bado kuna mambo natakiwa kupata nikiwa hapa akili yangu yote ipo kama mchezaji wa Chelsea."
Post A Comment: