
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi π΅πͺπ΅πͺ
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
Kwa mara ya kwanza Real Madrid itacheza na Barcelona Jumamosi mchana Desemba 23 kwa mujibu wa ratiba ya LaLiga iliyotolewa kwa mechi za kabla Krismass.
Hii ni mara ya kwanza kwa miamba hiyo kukutana katika siku ya mwisho kabla ya kuanza kwa mapumziko ya sikukuu.
Baada ya Clasico Krismassi, michezo mingine itashudia Valencia ikiwakaribisha Villarreal na Deportivo La Coruna itakuwa nyumbani kuwakaribisha Celta Vigo kwenye Uwanja wa Riazor.
Mechi za mzunguko wa 17, zimetanywa katika siku mbalimbali huku Leganes ikicheza na Levante wataanza Jumanne, Desemba 19.
Mechi nyingine kubwa itashudia Real Sociedad ikivaa Sevilla, Desemba 20, timu za mkiani Malaga na Alaves zitakutana Ijumaa usiku Desemba 22.
Post A Comment: