
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi π΅πͺπ΅πͺ
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
Baada ya Neymar na Messi kupokea vitisho kundi la ISIS limemtumia ujumbe huo mwanasoka bora wa mwaka wa Fifa, Cristiano Ronaldo
Kundi la dola la Kislamu limeendelea kutuma ujumbe wa vitisho kwa nyota wanasoka baada ya kumtumia ujumbe huo Ronaldo katika kuelekea katika fainali za Kombe la Dunia 2018, Russia.
Neymar, Lionel Messi na kocha wa Ufaransa, Didier Deschamps tayari wameshapokea ujumbe wa vitisho kutoka kwa ISIS kupitia picha zilizochapishwa kwenye tovuti yao.
Katika tovuti SITE Intel Group imeonyesha picha ya Ronaldo akiwa amepiga magoti huku jicho lake moja likiwa jeusi na nyuma yake amesimama mtu mwenye kisu mkononi.
Picha hiyo ya Ronaldo chini yake iliwekwa ujumbe uliosomeka "Neno letu ni hiki unachokiona, siyo kile unachosikia," ulisomeka ujumbe huo na kuongeza. "Kwa hiyo, subiri, tunakusubiri.
Post A Comment: