
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi π΅πͺπ΅πͺ
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
Mesut Ozil amewajibu wadau wanaoponda kiwango chake akidai amekuwa akicheza kwa nguvu zote na mepenzi makubwa Arsenal.
Kauli ya Mjerumani huyo imekuja, baada ya wadau kukosoa uchezaji wake wakidai hana msaada Emirates licha ya kununuliwa kwa bei mbaya kutoka Real Madrid kwa Pauni 42 milioni akiwa ndiye mchezaji ghali zaidi kununuliwa na klabu hiyo.
"Siku zote nimekuwa nikijitahidi kuifanyia mambo makubwa Arsenal, lakini sina furaha katika nafasi ya uwanjani ninayopangwa,"alisema Ozil mwenye miaka 29.
Mchezaji huyo amekuwa akihusishwa na mpango wa kumfuata bosi wake wa zamani Jose Mourinho kujiunga na Manchester United katika dirisha dogo Januari, mwakani.
Mkataba wake unatarajia kumalizika mwishoni mwa msimu huu na Arsenal imemuweka sokoni ikitaka kumpiga bei mapema ili kupata fedha.
Post A Comment: