
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi 🇵🇪🇵🇪
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
Dirisha dogo la usajili linafunguliwa wiki ijayo, huku viongozi wa timu wakianza kuwindana ili kudaka wachezaji nyota kwa ajili ya kuongeza makali kwenye vikosi vyao.
Simba inaongoza ikiwa na alama 19 sawa na Azam lakini wakiwa na faida ya uwiano wa mabao ya kufunga na kufungwa, wakati Yanga yenyewe ina pointi 17 kama za Mtibwa Sugar, ila uwiano wa mabao unawabeba mbele yao.
Yanga iliyolazimishwa sare mbili mfululizo katika mechi zao zilizopita ikiwa ile na watani zao Simba walifungana nao bao 1-1 kabla ya Singida United kuibana na kutoka nao suluhu, imeachwa pointi mbili na Simba katika msimamo wa ligi.
Kocha Lwandamina ameuambia uongozi kuwa, katika dirisha dogo anataka mastraika mawili tu wa kuimaliza Simba.
Post A Comment: