
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi π΅πͺπ΅πͺ
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
Mshambuliaji wa Chelsea, Alvaro Morata amewatoa hofu mashabiki na uongozi wa klabu hiyo kwamba ataendelea kuitumikia klabu hiyo hata baada ya mkataba wake kumalizika.
Morata amelazimika kutoa ufafanuzi huo baada ya kueleza kwenye mahojiano na Gazeti la Dello Sport kuhusu kuondoka England baada ya mkataba wake kumalizika.
Alisisitiza kwamba nia yake ni kuitumikia Chelsea kwa miaka 10 baadaye, jambo ambalo limeondoa hofu kwa mashabiki kwamba mchezaji huyo angetimka London baada ya mkataba wake kumalizikika.
Pia alisisitiza kwamba anafurahia maisha ya kucheza soka Stamford Bridge ambako amesajiliwa kuihudumia timu hiyo kwa mkataba wa miaka mitano alipowasili Juni mwaka huu akitokea Real Madrid.
Aliongeza kuwa Jambo la msingi kwake ni kuwa katika kiwango kizuri wakati wote na kuimarika zaidi.
Post A Comment: