
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi π΅πͺπ΅πͺ
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
Mtayarishaji wa muziki anayesumbua masikio ya wapenda burudani kwa mdundo wa ngoma mpya ya Alikiba 'Seduce Me', Man Water amedai wakati huu ambao amerudi kwa kasi na ngoma kubwa ndiyo muda ambao atamrudisha msanii 20 Percent.
Akiwa kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio kwenye 'media tour' ya Alikiba , Man water amesema mwaka huu anaamini ndiyo wakati wa studio yake ya Combination Sound kurudi hewani kama zamani na kudai ndiyo wakati wake baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu.
"Combination kuna mambo makubwa tuliyoyaandaa, ikiwepo kazi hizi za Kiba ambazo zimeanza kutoka lakini mashabiki zetu tunawaahidi makubwa. 20 Percent lazima arudi mapema iwezekanavyo kwenye hili hili vugu vugu la Alikiba hapa ndiyo na yeye atapita na nawaahidi lazima afanye vizuri," alisema Man Water
Man Water pamoja 20 Percent walimaliza ugomvi wao mnamo Oktoba 05, 2013 baada ya kudumu kwenye mgogoro na msanii huyo kwa muda usiopungua mwaka mmoja kwa kile alichokiita kupishana lugha wakati wa kufanya kazi pamoja ambapo mwaka jana alipotaka kumrejesha kwenye 'game' mapokezi hayakuwa mazuri hivyo kumfanya akae benchi kwanza.
Post A Comment: