
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi 🇵🇪🇵🇪
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
Mwigizaji Wema Sepetu anaonekana kuyatafuna maneno yake ya awali, alipokiri kwamba atatoa kizazi chake kama hatakuwa amefanikiwa kushika mimba atakapotimiza miaka 32.
Kwa kipindi kirefu, Wema mwenye miaka 29 amekuwa akihangaika kupata mtoto bila ya mafanikio. Mwaka jana alipokuwa na uhusiano na mshiriki wa zamani wa Big Brother Idris Sultan, alieleza kwenye mitandao ya kijamii kuwa alishika mimba lakini ikaharibika.
Wema alisema, “Nampenda mtoto nipate mtoto hata sasa hivi, kwa sababu nimekuwa nikitaka tangu nina miaka 24 sasa hivi nina miaka 29. Kwa kweli hali hii inaniumiza kila leo. Lakini nasema kwamba sijakata tamaa, Mwenyezi Mungu najua ana mipango yake na ukikataa sana tamaa pia unamkufuru.”
Lakini licha ya kukosa mtoto, mrembo huyo alisisitiza hawezi kukata tamaa na ataendelea kusubiri kwa imani na ipo siku Mungu atasikia kilio chake na atamjalia.
“Mimi ni mtoto wa Kiislamu sitaki itafika mahali nitaanza kumfukuru Mungu. Nina Imani kwamba God’s time is the best time acha tuone. Itakavyokuwa Inshallah,” Wema amesema.
Post A Comment: