
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi π΅πͺπ΅πͺ
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
Rais mstaafu wa awamu ya nne Dkt. Jakaya Kikwete amesema mimba haipaswi kuwa ugonjwa na juhudi zinatakiwa zichukuliwe katika kuhakikisha mama na mtoto hawapotezi uhai wakati wa kujifungua.
Dkt. Kikwete ameitoa kauli hiyo akiwa nchini India akiwa kwenye ziara iliyomfanya ajifunze namna ambayo taifa hilo limefanikiwa kupunguza vifo vya kinamama wajawazito.
"Mimba siyo ugonjwa,tufanye kila tuwezalo mama na mtoto wasipoteze uhai wakati wa kujifungua.Tukio la kujifungua lapaswa kuwa shangwe si huzuni kama ambavyo imekuwa mara nyingine kwenye familia tofauti", alisema Dkt. Kikwete.
Rais huyo mstaafu anafanya ziara yake nchini India yenye lengo la kujifunza ni kwa namna gani vifo vya kinamama wajawazito pamoja na watoto chini ya umri wa miaka mitano vimeweza kudhibitiwa nchini humo.
Post A Comment: