
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi π΅πͺπ΅πͺ
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
Katibu
wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Humphrey Polepole amesema chama hicho
kimeanza kufanya mageuzi ya makusudi ili kurejea kwenye misingi ya
kuanzishwa kwake.
Katibu
huyo mpya wa itikadi na uenezi wa Halmashauri Kuu ya CCM, amesema
mageuzi hayo yanakusudia kukifanya kuwa cha watu, kuwasikiliza na
kusimamia masilahi ya wanyonge ili kurejesha imani kwao katika vitendo
vyote vya chama.
Polepole alisema hayo jana katika mahojiano na kituo cha redio cha Uhuru FM kinachomilikiwa na chama hicho tawala.
DOWNLOAD
APP YETU YA SWAHIBA NEWS ILI UWEZE KUPATA HABARI ZOTE MOJA KWA MOJA
KUPITIA SIMU YAKO YA MKONONI BILA KUINGIA KWENYE WEBSITE,KUDOWNLOAD
BONYEZA HAPA
ANDIKA MAONI YAKO HAPO CHINI
Post A Comment: