
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi π΅πͺπ΅πͺ
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
Waziri
Mkuu wa zamani Edward Lowassa ameitaka CCM iache kujidanganya kuwa
haiwezi kuondoka madarakani akiitaka iangalie alama za nyakati hasa
mabadiliko ya uongozi yanayotokea kwingineko duniani.
Hata
hivyo, Lowassa ambaye ni mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema amesema
unahitajika muungano wa dhati wa vyama na uliopangiliwa vizuri katika
juhudi za kuiondoa CCM madarakani.
Lowassa
alisema hayo alipoombwa na mwandishi wa habari hizi kutoa tathmini ya
maisha yake ya kisiasa mwaka mmoja na nusu tangu alipojiondoa CCM na
kujiunga na Chadema ambako aliteuliwa kuwa mgombea urais wa chama hicho
akiwakilisha muungano wa vyama vine β Chadema, CUF, NCCR - Mageuzi na
NLD β Iliopewa jina la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa).
DOWNLOAD
APP YETU YA SWAHIBA NEWS ILI UWEZE KUPATA HABARI ZOTE MOJA KWA MOJA
KUPITIA SIMU YAKO YA MKONONI BILA KUINGIA KWENYE WEBSITE,KUDOWNLOAD
BONYEZA HAPA
ANDIKA MAONI YAKO HAPO CHINI
Post A Comment: