
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi 🇵🇪🇵🇪
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
MSHAMBULIAJI wa Yanga, Donald amesema majukumu ya kiuchezaji
aliyobadilishiwa na kocha George Lwandamina yamemfanya ashindwe kufunga
na kazi hiyo amemwachia Amiss Tambwe.
Lwandamina amebadilisha mfumo wa uchezaji kati ya nyota hao wawili,
ambapo sasa Tambwe ndiye atakuwa mfungaji huku Ngoma akipewa jukumu la
kuwasaidia viungo kwa kutafuta mipira na kumtengenezea Tambwe.
Mzimbabwe huyo alisema kutokana na
majukumu hayo yeye atakuwa akifunga mara chache sana, tofauti na
ilivyokuwa msimu uliopita, ambapo wote walikuwa wakicheza ndani ya eneo
la hatari la timu pinzani na kila mmoja ana uhuru wa kufunga.
“Hizi ni mbinu mpya na unajua tumebadilisha kocha na kila mtu ana
mbinu mpya, kwangu mimi nafurahia kwa sababu siyo mara ya kwanza kutumia
mfumo huu, ingawa kitakachopungua ni kutofunga kama ilivyokuwa msimu
uliopita na kwenye mzunguko wa kwanza,” alisema Ngoma.
Mshambuliaji huyo ambaye msimu uliopita aliifungia Yanga mabao 24,
kwenye mashindano yote iliyoshiriki, alisema anaukubali sana uwezo wa
Tambwe kwenye kufunga, hivyo hana wasiwasi, ispokuwa kazi kubwa anayo
yeye na wachezaji wenzake kuhakikisha wanatengeneza nafasi nyingi za
mabao.
DOWNLOAD
APP YETU YA SWAHIBA NEWS ILI UWEZE KUPATA HABARI ZOTE MOJA KWA MOJA
KUPITIA SIMU YAKO YA MKONONI BILA KUINGIA KWENYE WEBSITE,KUDOWNLOAD
BONYEZA HAPA
ANDIKA MAONI YAKO HAPO CHINI
Post A Comment: