Mkazi wa Kitongoji cha Ilongazala, Kijiji cha Businda, Ushirombo wilayani hapa, Sophia Mulimadoke (45) ameuawa kwa kukatwakatwa mapanga mbele ya watoto wake na watu wasiojulikana.


Tukio hilo ambalo Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, Mponjoli Mwabulambo amesema linafanyiwa uchunguzi, ambo mawili; imani za kishirikina na kuchelewa kugawa urithi yametajwa kuhusika.

Akisimulia mkasa huo, mtoto wa familia hiyo ambaye hatukuweza kuandika jina lake kutokana na umri alisema walikuja wanaume wawili wakiwa wamevalia makoti marefu meusi nyumbani hapo wakidai wanatafuta ng’ombe wao wawili waliowapoteza.

DOWNLOAD APP YETU YA SWAHIBA NEWS ILI UWEZE KUPATA HABARI ZOTE MOJA KWA MOJA KUPITIA SIMU YAKO YA MKONONI BILA KUINGIA KWENYE WEBSITE,KUDOWNLOAD BONYEZA HAPA  

ANDIKA MAONI YAKO HAPO CHINI
ads
Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya SWAHILI NEWS kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka
Share To:

SWAHIBA MEDIA STAFF

Habari , karibu katika mtandao wetu ili kuhabarika na stori zote za siku katika lugha yetu adhwim ya kiswahili, habarika wakati wote weka dunia kiganjani mwako na swahili news

Post A Comment: