
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi 🇵🇪🇵🇪
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
Mkazi wa Kitongoji
cha Ilongazala, Kijiji cha Businda, Ushirombo wilayani hapa, Sophia
Mulimadoke (45) ameuawa kwa kukatwakatwa mapanga mbele ya watoto wake na
watu wasiojulikana.
Tukio
hilo ambalo Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, Mponjoli Mwabulambo
amesema linafanyiwa uchunguzi, ambo mawili; imani za kishirikina na
kuchelewa kugawa urithi yametajwa kuhusika.
Akisimulia
mkasa huo, mtoto wa familia hiyo ambaye hatukuweza kuandika jina lake
kutokana na umri alisema walikuja wanaume wawili wakiwa wamevalia makoti
marefu meusi nyumbani hapo wakidai wanatafuta ng’ombe wao wawili
waliowapoteza.
DOWNLOAD
APP YETU YA SWAHIBA NEWS ILI UWEZE KUPATA HABARI ZOTE MOJA KWA MOJA
KUPITIA SIMU YAKO YA MKONONI BILA KUINGIA KWENYE WEBSITE,KUDOWNLOAD
BONYEZA HAPA
ANDIKA MAONI YAKO HAPO CHINI
Post A Comment: