
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi π΅πͺπ΅πͺ
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
Wakuu
wa mikoa saba wamekalia kuti kavu kutokana na kushindwa kutekeleza
agizo la Rais John Magufuli kumaliza tatizo la madawati katika mikoa
yao.
Akizungumza
jana akipokea madawati 3,500 yenye thamani ya Sh300 milioni kutoka
benki ya NMB, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais -Tamisemi, George
Simbachawene alisema mikoa ya wakuu hao saba inayoongoza kwa upungufu
wa madawati ni Geita, Mwanza, Kigoma, Mara, Rukwa, Simiyu na Dodoma.
Simbachawene
alisema kutokana na kushindwa kutekeleza ahadi hiyo ametoa siku 43 na
wasipotekeleza watakuwa wameshindwa kwenda na kasi ya Dk Magufuli.
DOWNLOAD
APP YETU YA SWAHIBA NEWS ILI UWEZE KUPATA HABARI ZOTE MOJA KWA MOJA
KUPITIA SIMU YAKO YA MKONONI BILA KUINGIA KWENYE WEBSITE,KUDOWNLOAD
BONYEZA HAPA
ANDIKA MAONI YAKO HAPO CHINI
Post A Comment: