
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi π΅πͺπ΅πͺ
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
Baada ya Donald Trump wa Chama cha Republican kushinda Uchaguzi Mkuu
wa Marekani, sasa anakabiliwa na kihunzi cha mwisho kinachoweka rehani
urais wake.
Ni
baada ya wafuasi wa Hillary Clinton aliyekuwa mgombea urais wa
Democratic kuamua kukimbilia njia ya mwisho ya kushawishi wapigakura ya
uamuzi (electoral vote) kuchagua chaguo lao.
Desemba
19, wapigakura 538 watakutana kwenye majimbo yao kupiga kura ya
kisheria kumthibitisha rais mteule ambayo baadhi ya wafuasi wa Clinton
wasiokata tamaa wanaona huenda ikawa ni mwanzo wa safari ya mwanamama
huyo kuingia Ikulu.
DOWNLOAD
APP YETU YA SWAHIBA NEWS ILI UWEZE KUPATA HABARI ZOTE MOJA KWA MOJA
KUPITIA SIMU YAKO YA MKONONI BILA KUINGIA KWENYE WEBSITE,KUDOWNLOAD
BONYEZA HAPA
ANDIKA MAONI YAKO HAPO CHINI
Post A Comment: