
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi π΅πͺπ΅πͺ
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA KURUGENZI YA MAWASILIANO YA RAIS IKULU.β
Ikulu, Dar es Salaam Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.
John Pombe Magufuli leo tarehe 18 Novemba, 2016 amemteua aliyekuwa
Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI) Bw. Diwani Athuman kuwa
Katibu Tawala wa Mkoa wa Kagera. Uteuzi wa Bw. Diwani Athuman unaanza
mara moja.
Wakati huo huo, Rais Magufuli amefanya uteuzi wa Wenyeviti wa Bodi katika Taasisi Tano za Serikali kama ifuatavyo. Kwanza, Rais Magufuli amemteua Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jaji Joseph Sinde Warioba kuwa Mkuu wa Chuo Kikuu des Sokoine cha Kilimo (SUA) Uteuzi huu umeanza tarehe 16 Novemba, 2016.
Pili, Rais Magufuli amemteua Dkt. Jones A. Kilimbe kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) na amemteua Bw. Sylvester M. Mabumba kuwa Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA).
Uteuzi huu umeanza tarehe 17 Novemba, 2016 Tatu, Rais Magufuli amemteua Prof. Patrick Maktuigu kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Uhandisi na Usanifu Mitambo (TEMDO). Uteuzi huu umeanza tarehe 16 Novemba, 2016.
Nne, Rais Magufuli amemteua Bw. Martin Madekwe kuwa mwenyekiti wa Bodi ya Mfuko wa Fidia ya Ardhi. Uteuzi huu umeanza tarehe 17 Novemba, 2016.
Tano, Rais Magufuli amemteua Prof. Raphael Tihelwa. Chibunda kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Wakurugenzi wa Taasisi ya Utafiti wa Viwaatilifu vya Kitropiki Tanzania (TPRI) Uteuzi huu umeanza tarehe 17 Novemba, 2016.
Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais,
IKULU Dar es Salaam
18 Novemba, 2016.
Wakati huo huo, Rais Magufuli amefanya uteuzi wa Wenyeviti wa Bodi katika Taasisi Tano za Serikali kama ifuatavyo. Kwanza, Rais Magufuli amemteua Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jaji Joseph Sinde Warioba kuwa Mkuu wa Chuo Kikuu des Sokoine cha Kilimo (SUA) Uteuzi huu umeanza tarehe 16 Novemba, 2016.
Pili, Rais Magufuli amemteua Dkt. Jones A. Kilimbe kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) na amemteua Bw. Sylvester M. Mabumba kuwa Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA).
Uteuzi huu umeanza tarehe 17 Novemba, 2016 Tatu, Rais Magufuli amemteua Prof. Patrick Maktuigu kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Uhandisi na Usanifu Mitambo (TEMDO). Uteuzi huu umeanza tarehe 16 Novemba, 2016.
Nne, Rais Magufuli amemteua Bw. Martin Madekwe kuwa mwenyekiti wa Bodi ya Mfuko wa Fidia ya Ardhi. Uteuzi huu umeanza tarehe 17 Novemba, 2016.
Tano, Rais Magufuli amemteua Prof. Raphael Tihelwa. Chibunda kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Wakurugenzi wa Taasisi ya Utafiti wa Viwaatilifu vya Kitropiki Tanzania (TPRI) Uteuzi huu umeanza tarehe 17 Novemba, 2016.
Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais,
IKULU Dar es Salaam
18 Novemba, 2016.
DOWNLOAD
APP YETU YA SWAHIBA NEWS ILI UWEZE KUPATA HABARI ZOTE MOJA KWA MOJA
KUPITIA SIMU YAKO YA MKONONI BILA KUINGIA KWENYE WEBSITE,KUDOWNLOAD
BONYEZA HAPA
ANDIKA MAONI YAKO HAPO CHINI
Post A Comment: