
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi π΅πͺπ΅πͺ
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
Vilio
na simanzi juzi vilitawala katika kitongoji cha Kichari, Kijiji cha
Umbwe Onana wilayani Moshi baada ya watoto yatima tisa kuondolewa kwa
amri ya Mahakama kwenye nyumba ya marehemu baba yao waliyokuwa wakiishi.
Hali hiyo ilisababisha wakazi wa kijiji hicho kuamua kupiga kambi barabarani wakimuomba Mungu atende miujiza kwa yatima hao.
Wananchi
hao wakiongozwa na baadhi ya viongozi wa dini, walisema
kuwa watapiga kambi na kufanya maombi maalumu ya siku tisa kuwaombea
watoto hao waliotolewa kwenye nyumba hiyo.
DOWNLOAD
APP YETU YA SWAHIBA NEWS ILI UWEZE KUPATA HABARI ZOTE MOJA KWA MOJA
KUPITIA SIMU YAKO YA MKONONI BILA KUINGIA KWENYE WEBSITE,KUDOWNLOAD
BONYEZA HAPA
ANDIKA MAONI YAKO HAPO CHINI
Post A Comment: