
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi π΅πͺπ΅πͺ
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF)
aliyejiengua na kurejea katika nafasi hiyo, Prof. Ibrahim Lipumba,
amesema yupo tayari kufanyakazi na katibu mkuu wa chama hicho, Maalim
Seif Sharif Hamad, bali anachosubiri kwa sasa ni kumalizika kwa kesi
iliyopo mahakamani.
Prof. Lipumba alitoa kauli hiyo juzi alipofanya mkutano wa ndani wa viongozi na wanachama wa CUF mkoa wa Tabora.
Alisema hana kinyongo na Maalim Seif ndiyo maana yupo tayari
kuendelea kufanya naye kazi ya kukiimarisha chama chao ambacho kimeyumba
kutokana na mgogoro wa uongozi ulioibuka Agosti, mwaka huu.
βNimekuwa nampigia simu, lakini hapokei, hatuongei naye huo ni
mtihani, lakini nina imani ipo siku tutafanyakazi pamoja kujenga chama
chetu,β alisema.
DOWNLOAD
APP YETU YA SWAHIBA NEWS ILI UWEZE KUPATA HABARI ZOTE MOJA KWA MOJA
KUPITIA SIMU YAKO YA MKONONI BILA KUINGIA KWENYE WEBSITE,KUDOWNLOAD
BONYEZA HAPA
ANDIKA MAONI YAKO HAPO CHINI
Post A Comment: