
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi π΅πͺπ΅πͺ
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
MWENYEKITI wa Bodi ya Taifa ya Parole, Augustino Mrema amemwomba
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kuliamuru Jeshi la Magereza liruhusu
kupunguza msongamano wa wafungwa katika magereza kwa mujibu wa sheria za
nchi, pamoja na kuachia wafungwa waliolipiwa faini.
Aidha, ametaka viongozi wa Magereza au wa serikali waliokwamisha
wafungwa waliotimiza masharti yote wasiachiliwe kwa makusudi,
wachukuliwe hatua za kinidhamu.
Aliyasema hayo alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari katika
ukumbi wa Idara ya Habari β Maelezo, jijini Dar es Salaam ambako alitoa
kilio chake dhidi ya Magereza kwamba wanakwamisha kazi ya kupunguza
msongamano wa wafungwa.
Katika barua aliyoiandika kwenda kwa Waziri Mkuu, ameeleza kuwa Mkuu
wa Magereza Mkoa wa Dodoma alisema kwa sasa magereza yaliyopo katika
mkoa huo kuna wafungwa 30 ambao mchakato wake umekwama kukamilika
kutokana na ukosefu wa fedha.
DOWNLOAD
APP YETU YA SWAHIBA NEWS ILI UWEZE KUPATA HABARI ZOTE MOJA KWA MOJA
KUPITIA SIMU YAKO YA MKONONI BILA KUINGIA KWENYE WEBSITE,KUDOWNLOAD
BONYEZA HAPA
ANDIKA MAONI YAKO HAPO CHINI
Post A Comment: