
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi π΅πͺπ΅πͺ
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ametia
saini Sheria ya Huduma za Habari ya Mwaka 2016 iliyopitishwa na Bunge la
11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Mkutano wake wa 5 Mjini
Dodoma.
Kurugenzi
ya Mawasiliano ya Rais katika taarifa yake kwa vyombo vya habari
imesema kuwa Rais Magufuli amesaini Sheria hiyo jana tarehe 16 Novemba,
2016.
Taarifa hiyo imesema pia kuwa Dkt. Magufuli amewapongeza wadau wote kwa kufanikisha kutungwa kwa Sheria hiyo.
"Naamini kuwa Sheria hii itasaidia kuboresha sekta ya habari kwa manufaa ya wanataaluma wenyewe na Taifa" amesema Rais Magufuli.
Mnamo Novemba 04, mwaka huu, wakati Rais Magufuli akizungumza na wahariri wa vyombo vya habari, aliahidi kuusaini muswada huo mara moja utakapomfikia huku akiusifia kuwa ni sheria nzuri inayolenga kulinda maslahi ya waandishi wa habari na kuweka heshima katika tasnia hiyo.
Taarifa hiyo imesema pia kuwa Dkt. Magufuli amewapongeza wadau wote kwa kufanikisha kutungwa kwa Sheria hiyo.
"Naamini kuwa Sheria hii itasaidia kuboresha sekta ya habari kwa manufaa ya wanataaluma wenyewe na Taifa" amesema Rais Magufuli.
Mnamo Novemba 04, mwaka huu, wakati Rais Magufuli akizungumza na wahariri wa vyombo vya habari, aliahidi kuusaini muswada huo mara moja utakapomfikia huku akiusifia kuwa ni sheria nzuri inayolenga kulinda maslahi ya waandishi wa habari na kuweka heshima katika tasnia hiyo.
DOWNLOAD
APP YETU YA SWAHIBA NEWS ILI UWEZE KUPATA HABARI ZOTE MOJA KWA MOJA
KUPITIA SIMU YAKO YA MKONONI BILA KUINGIA KWENYE WEBSITE,KUDOWNLOAD
BONYEZA HAPA
ANDIKA MAONI YAKO HAPO CHINI
Post A Comment: