
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi 🇵🇪🇵🇪
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
Profesa
wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Benson Bana amesema endapo
angepata fursa ya kuonana na Rais John Magufuli angemshauri aondoe ukuta
uliopo baina yake na viongozi wengine wa kisiasa kwa kukaa meza moja ya
mazungumzo hasa kwa mambo ya msingi ya nchi.
Kauli
ya Profesa Bana imetolewa wakati vyama vya siasa vikimshutumu Rais
Magufuli kwa kuvibana baada ya Serikali yake kupiga marufuku mikutano
yote ya vyama na badala yake akisema siasa za majukwaani zifanyike 2020
wakati wa Uchaguzi Mkuu.
Profesa
Bana ambaye alikuwa akijibu swali la mwandishi wetu kuhusu jambo ambalo
angemshauri Rais endapo angepata wasaa wa kukutana naye alisema:
“Atengeneze jukwaa litakalokuwa linamwezesha kukutana na viongozi
wenzake wa kisiasa, aitishe hata mkutano ili wajadili mambo muhimu.
Anaweza kuongea na viongozi wenye vyama vyenye wabunge au vyama vyote
vya kisiasa, hili ni suala muhimu sana.”
DOWNLOAD
APP YETU YA SWAHIBA NEWS ILI UWEZE KUPATA HABARI ZOTE MOJA KWA MOJA
KUPITIA SIMU YAKO YA MKONONI BILA KUINGIA KWENYE WEBSITE,KUDOWNLOAD
BONYEZA HAPA
ANDIKA MAONI YAKO HAPO CHINI
Post A Comment: