
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi π΅πͺπ΅πͺ
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
Wakati
Waziri wa Mambo ya Ndani, Mwigulu Nchemba akiagiza hatua kali
zichukuliwe dhidi ya walimu wa shule ya Mbeya Day wanaodaiwa kumshushia
kipigo mwanafunzi, MKuu wa Shule na baadhi ya walimu wamechukuliwa na
polisi kwa mahojiano asubuhi leo.
Hatua
hiyo imekuja baada ya video kusambaa kwenye mitandao ya kijamii
ikimuonyesha mwanafunzi huyo wa kidato cha tatu, Sebastian Chinguka
akipigwa kikatili na walimu.
Taarifa
za awali zinaeleza kuwa tukio hilo lilitokea Septemba 28 baada ya
mwanafunzi huyo kutofanya zoezi la somo la Kiingereza. Zinaeleza kuwa
walimu waliofanya kitendo hicho walikuwa kwenye mafunzo kwa vitendo.
DOWNLOAD
APP YETU YA SWAHIBA NEWS ILI UWEZE KUPATA HABARI ZOTE MOJA KWA MOJA
KUPITIA SIMU YAKO YA MKONONI BILA KUINGIA KWENYE WEBSITE,KUDOWNLOAD
BONYEZA HAPA
ANDIKA MAONI YAKO HAPO CHINI
Post A Comment: