
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi π΅πͺπ΅πͺ
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
Waziri Mkuu wa
zamani wa Ureno Antonio Guterres anatarajiwa kuwa Katibu Mkuu mpya wa
Umoja wa Mataifa baada ya kupata hakikisho kutoka kwa wanachama watano
wakudumu wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.
Idhinisho
hilo lisilo rasmi litathibitishwa leo Alhamisi katika kura rasmi, kabla
ya kupelekwa katika mkutano mkuu kwa ajili ya kuchaguliwa kwa kauli
moja.
Antonio Guterres ambaye ni balozi wa Umoja wa Mataifa, ametumika kama Kamishna mkuu katika shirika la Wakimbizi kwa miaka 10.
Iwapo ataidhinishwa, atashika nafasi hiyo mwaka mpya, muda ambao Katibu mkuu wa sasa Ban Ki Moon atastaafu.
Uteuzi
wake huo umekuja licha ya jitihada zilizokuwa zikichiukuliwa kuweza
kumpata Katibu Mkuu mpya wa Umoja wa Mataifa, Mwanamke.
DOWNLOAD
APP YETU YA SWAHIBA NEWS ILI UWEZE KUPATA HABARI ZOTE MOJA KWA MOJA
KUPITIA SIMU YAKO YA MKONONI BILA KUINGIA KWENYE WEBSITE,KUDOWNLOAD
BONYEZA HAPA
ANDIKA MAONI YAKO HAPO CHINI
Post A Comment: