
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi π΅πͺπ΅πͺ
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
AFYA ya faru mwenye umri mkubwa kuliko wote duniani anayehifadhiwa katika Bonde la Ngorongoro, maarufu kwa jina la Fausta, imeimarika baada ya kuugua kwa muda mrefu katika eneo maalumu alikohifadhiwa.
Faru Fausta amekuwa kivutio kikubwa kutokana na umri wake.
Kwa sasa faru huyo ametengwa kwa ajili ya kutibiwa majeraha makubwa aliyokuwa nayo kutokana na changamoto za porini.
Kwa mujibu wa daktari anayemuangalia faru huyo, Dk. Francis Makali, Fausta ana umri wa miaka 52.
βFausta alikuwa na majeraha makubwa ambayo yalihatarisha maisha yake," alisema Dk. Makali, lakini "hivi sasa afya yake imeimarika na anaendelea vizuri.β
Alisema licha ya afya ya faru huyo kuimarika, hakuna mpango wa kumuachia arudi nyikani kutokana na umri wake kuwa mkubwa pamoja na uoni hafifu wa jicho moja.
Hivi karibuni faru fausta alizua gumzo bungeni,baada ya taarifa kusema kuwa matibabu yake na malisho yake kwa siku ni zaidi ya milioni 50
Post A Comment: