
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi 🇵🇪🇵🇪
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
Kocha wa Arsenal, Arsene Wenger amempongeza George Weah kwenye akaunti yake ya Twetter akiamini ameshinda uchaguzi Mkuu nchini Liberia huku matokeo rasmi yakiwa bado hayajatangazwa.
Wenger aliuvaa mkenge huo baada ya kusoma taarifa kwenye mtandao kuhusu ushindi wa uchaguzi wa Rais, nchini Liberia ambapo taarifa zinaeleza kwamba kazi ya kukamilisha matokeo ya mwisho bado inaendelea.
Kocha huyo aliandika, “Ninapenda kukupongeza mmoja wa wachezaji wa zamani ambaye umekuwa Rais wa Liberia, George Weah.
Hii sio mara ya kwanza kwa mchezaji wa zamani kuwa rais wa nchi na umefanya vyema George Weah…”
Post A Comment: