
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi π΅πͺπ΅πͺ
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
Mkuu wa mkoa wa mjini Magharibi,Zanzibar Mh Ayoub Mohammed Mahmoud leo hii ameukabidhi rasmi mwenge wa uhuru kwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera,Bunge,Kazi, vijana ,Ajira na Walemavu Mhe Jenista Muhagama kwenye uwanja wa Aman.
Katika hotuba fupi ya kuukabidhi Mwenge huo,Mh Ayoub amesema kuwa tukio la kutamatishwa kwa mbio za mwenge visiwani Zanzibar ni la kipekee na la kihistoria.
Aidha Mh Ayoub ameishukuru Serikali kwa kukubali tukio hilo kufanyikia kwa mara ya kwanza Zanzibar.
Post A Comment: