
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi π΅πͺπ΅πͺ
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
MWALIMU Mkuu wa Shule ya Mtende, Mkoa wa Kusini Unguja anayetuhumiwa kumbaka mwanafunzi wa kidato cha nne amesimamishwa kazi kupisha uchunguzi wa tuhuma hizo
Mkuu wa Wilaya ya Kusini Unguja, Idrissa Kitwana Mustafa, alisema ofisi yake imeiandikia barua Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali, ikiarifu hatua ya kumsimamisha kazi mwalimu huyo.
Alisema hatua hiyo inalenga kuwazindua walimu wengine wenye tabia za kudhalilisha wanafunzi kuacha mara moja.
Alisema inashangaza mwalimu kujihusisha na vitendo vya ubakaji wakati jamii inamtegemea kama ni mlezi wa watoto.
Alisema vitendo hivyo ni kinyume na maadili ya ualimu na havikubaliki kisheria hivyo alitaka jamii kuacha kuvifumbia macho.
Post A Comment: