
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi π΅πͺπ΅πͺ
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
Vinara wa Ligi Kuu Bara, Simba imeendelea kujifua visiwani Zanzibar ikijiandaa na mchezo wake dhidi ya watani zao wa jadi Yanga itakayochezwa Jumamosi ijayo kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam.
Jumla ya wachezaji 24 wa Simba pamoja na viongozi wao wamewasili Unguja asubuhi ya jana na jioni kuanza mazoezi kwenye Uwanaj wa Jeshini Migombani Mjini Unguja
Simba itaendelea kufanya mazoezi kila siku asubuhi kuanzia saa 3:00 kwenye Uwanja wa Amaan na saa 10:00 za jioni katika Uwanja wa Jeshini Migombani.
Kikosi hicho kinachonolewa na Mcameroon Joseph Omog pamoja na msaidizi wake mpya Mrundi Masoud Djuma Irambona kimefikia kwenye Hoteli ya Mtoni Marine iliyopo Maruhubi Mjini Unguja.
Mshindi wa mechi hiyo ya watani wa jadi atajihakikishia kukalia usukani wa ligi baada ya timu hizo kulingana kwa pointi na kutofautiana kwa mabao.
Post A Comment: