
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi π΅πͺπ΅πͺ
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
Beki wa kimataifa wa Tanzania, Abdi Banda (22) anayeichezea Baroka FC ya Afrika Kusini amethibisha kuwa huenda akajiunga na moja ya timu kubwa nchini humo.
Beki huyo wa zamani wa Simba alizitaja timu hizo kuwa ni SuperSport United FC ya Johannesburg na Kaizer Chiefs FC ya Pretoria kuwa ni timu zinazopigana vikumbo kuwania saini yake.
βKule tunaongoza Ligi, wakati nafika na sasa mambo yako tofauti kwa sababu ni kama nimekuwa mzoefu kwa sababu nimecheza michezo yote saba ya Ligi Kuu,β
βKuna kila dalili kwamba sitacheza kwa muda marefu Baroka maana Kaizer Chiefs na SuperSport United zote zinanihitaji, sio rahisi kukataa aina hiyo ya madili, hizo ni timu kubwa ambazo kila mchezaji kwa huku anatamani kuzichezea.β alisema Banda.
Post A Comment: