
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi π΅πͺπ΅πͺ
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
NYOTA wa muziki nchini Nigeria waliokuwa wanaunda Kundi la P-Square, Peter na Paul Okoye, wametangaza kuuza nyumba yao iliyopo jijini Lagos.
Hatua hiyo imefikia mara baada ya kundi hilo kuvunjika kutokana na migogoro na kifamilia, huku Peter akidai kaka yao Jude Okoye alimtishia maisha na mke wake, hivyo hawawezi kuwa karibu tena hata kama ni familia moja.
βNaomba niweke wazi kuwa P-Square haipo tena na haiwezekani, kila mmoja anafanya yake sasa hata kama Paul anaandika kwenye kurasa zake za Instagram kwamba damu ni mzito kuliko maji, sasa nani damu na nani maji?
βKila mtu anatakiwa kuishi na mambo yake, ndiyo maana ni bora kuuuza nyumba yetu, kila mtu afe na chake,β alisema Peter.
Post A Comment: