
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi π΅πͺπ΅πͺ
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
Katika Mkutano wa Saba wa Bunge la Kumi na unaoanza leo kamati mbili zilizoundwa na Spika John Ndugai kuhusu madini ya tanzanite na almasi zitawasilisha ripoti zao.
Taafifa iliyotolewa na ofisi ya Bunge jana Jumatatu imeeleza kuwa kamati hizo zilizopewa siku 30 zimekamilisha kazi
hiyo na zitawasilisha taarifa zao keshokutwa tarehe 6 Septemba 2017 katika hafla fupi itakayofanyika katika viwanja vya Bunge na kuhudhuriwa na viongozi wa kitaifa.
Katika tukio hilo imeelezwa Spika atapokea taarifa hizo na kuzikabidhi kwa Waziri Mkuu.
Post A Comment: