
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi π΅πͺπ΅πͺ
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
Rais wa Jamhiri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na mkewe Mama Janeth Magufuli
wakiongea na Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Katoliki Dar es salaam
Muadhama Polycarp Kardinali Pengo walipomtembelea kumpa pole kufuatia
kifo cha dada yake nyumbwani kwake Kurasini jijini Dar es salaam leo
Desemba 23, 2016
hadi p6: Rais wa Jamhiri ya
Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na mkewe Mama Janeth
Magufuli wakiongea na Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Katoliki Dar es
salaam Muadhama Polycarp Kardinali Pengo walipomtembelea kumpa pole kwa
kufiwa na dada yake nyumbwani kwake Kurasini jijini Dar es salaam leo
Desemba 23, 2016
DOWNLOAD
APP YETU YA SWAHIBA NEWS ILI UWEZE KUPATA HABARI ZOTE MOJA KWA MOJA
KUPITIA SIMU YAKO YA MKONONI BILA KUINGIA KWENYE WEBSITE,KUDOWNLOAD
BONYEZA HAPA
ANDIKA MAONI YAKO HAPO CHINI
Post A Comment: