
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi π΅πͺπ΅πͺ
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
Mshambuliaji fundi wa klabu ya wenkundu wa Msimbazi Simba SC
inayoshiriki ligi kuu Tanzania Bara, Ibrahim Ajibu, ameondoka klabuni
hapo na kutimkia nchini Msri kwa ajili ya majaribio ya kucheza soka la
kulipwa.
Taarifa kutoka ndani ya klabu hiyo awali zilidai kuwa Ajibu ameondoka
bila kutoa taarifa kwa uongozi wa klabu, lakini baadaye meneja wa timu
hiyo Musa Hassan Mgosi amethibisha kuwa uongozi una taarifa na umetoa
baraka kwa mchezaji huyo kwenda kutafuta nje ya Tanzania.
"Ajibu kaenda Misri kwajili ya majaribio na kapata ruksa ya viongozi
kama ilivyo ada ya klabu ya Simba, Simba haimzuii mchezaji wake akipata
timu ya nje" Amesema Mgosi.
Ingawa Mgosi amesita kutaja timu ambayo Ajibu anakwenda, lakini zinaeleza kuwa anakwenda katika timu ya Harass El Hadood.
DOWNLOAD
APP YETU YA SWAHIBA NEWS ILI UWEZE KUPATA HABARI ZOTE MOJA KWA MOJA
KUPITIA SIMU YAKO YA MKONONI BILA KUINGIA KWENYE WEBSITE,KUDOWNLOAD
BONYEZA HAPA
ANDIKA MAONI YAKO HAPO CHINI
Post A Comment: