
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi π΅πͺπ΅πͺ
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC Imetangaza orodha ya walioteuliwa kugombea
uchaguzi mdogo wa Ubunge na Udiwani katika majimbo na kata mbalimbali
kwa upande wa Zanzibar na Tanzania Bara, utakao fanyika tarehe 22 mwezi
Januari mwaka 2017.
Akiongea na vyombo vya habari leo jijini Dar es Salaam, ikiwa ni mara ya kwanza baada ya kuapishwa na kuwa mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Tanzania, Jaji Semistocle Kaijage amesema, jumla ya vyama 11 vimeweka wagombea, ambapo wagombea wote 11 wameteuliwa kwa jimbo la Dimani Zanzibar.
Jaji. Kaijage amesema, vyama 13 vimesimamisha wagombea wa Udiwani katika Halmashauri 20 za Tanzania Bara kukiwa na wagombea wapatao 72 ambao wameteuliwa kuwania uchaguzi huo.
Jaji Semistocle Kaijage akizungumza na wajumbe wa NEC
Aidha, Jaji Kaijage amesema, ratiba ya kampeni ya uchaguzi huo zitaanza tarehe 23/12/2016 hadi tarehe 21/01/2016 ambapo kamati za maadili zinaundwa katika ngazi mbalimbali kwaajili ya kusimamia utekelezaji wa maadili katika kipindi chote cha kampeni.
DOWNLOAD
APP YETU YA SWAHIBA NEWS ILI UWEZE KUPATA HABARI ZOTE MOJA KWA MOJA
KUPITIA SIMU YAKO YA MKONONI BILA KUINGIA KWENYE WEBSITE,KUDOWNLOAD
BONYEZA HAPA
ANDIKA MAONI YAKO HAPO CHINI
Post A Comment: