
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi π΅πͺπ΅πͺ
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
Unaweza
kukiita ni mojawapo ya vituko vya kufungia mwaka, kama watu wanaweza
kunywa maji ya chooni wakiwa kazini, tena wanazalisha mali.
Juzi,
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Watu
wenye Ulemavu, Anthony Mavunde alishuhudia wafanyakazi wa Kiwanda cha
Kokoto cha Wadi Investment wakinywa maji yanayotumika chooni, hivyo
kulazimika kusimamisha shughuli za uzalishaji hadi wamiliki
watakaporekebisha hali hiyo.
Kitendo
hicho kilionekana kumkera Mavunde aliyemtaka msimamizi wa kiwanda
hicho, Yang Zhengda kunywa maji hayo kama yanafaa kutumia lakini raia
huyo wa China aligoma.
DOWNLOAD
APP YETU YA SWAHIBA NEWS ILI UWEZE KUPATA HABARI ZOTE MOJA KWA MOJA
KUPITIA SIMU YAKO YA MKONONI BILA KUINGIA KWENYE WEBSITE,KUDOWNLOAD
BONYEZA HAPA
ANDIKA MAONI YAKO HAPO CHINI
Post A Comment: