
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi π΅πͺπ΅πͺ
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
Chadema imeunda kikosi kilichopewa jina la G5 Jimbo la Moshi Mjini ili kujihakikishia ushindi katika Uchaguzi Mkuu wa 2020.
Kikosi
hicho kimepewa jukumu la kusajili wanachama na kuwapatiwa kadi mpya za
uanachama za kielektroniki, ambazo zina uwezo wa kuhifadhi taarifa zote.
Katibu
wa Chadema Mkoa wa Kilimanjaro, Basil Lema aliliambia gazeti hili jana
kuwa, kikosi hicho kiliundwa juzi baada ya kupitia mafunzo maalumu
yaliyowapiga msasa madiwani na wajumbe.
DOWNLOAD
APP YETU YA SWAHIBA NEWS ILI UWEZE KUPATA HABARI ZOTE MOJA KWA MOJA
KUPITIA SIMU YAKO YA MKONONI BILA KUINGIA KWENYE WEBSITE,KUDOWNLOAD
BONYEZA HAPA
ANDIKA MAONI YAKO HAPO CHINI
Post A Comment: