
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi π΅πͺπ΅πͺ
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
Siku
moja baada ya Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein kusaini Sheria ya
Gesi na Mafuta, Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif Sharif Hamad amesema
kitendo hicho kinalenga kuwazuga Watanzania na kuongeza mgongano wa
kisheria katika Muungano.
Maalim Seif alisema hayo jana kwenye mkutano na waandishi wa habari uliofanyika ofisi za CUF, Mtendeni kisiwani Unguja.
Rais Shein amesaini sheria hiyo inayoiruhusu Zanzibar kutafuta na kuchimba mafuta kwenye visiwa hivyo.
DOWNLOAD
APP YETU YA SWAHIBA NEWS ILI UWEZE KUPATA HABARI ZOTE MOJA KWA MOJA
KUPITIA SIMU YAKO YA MKONONI BILA KUINGIA KWENYE WEBSITE,KUDOWNLOAD
BONYEZA HAPA
ANDIKA MAONI YAKO HAPO CHINI
Post A Comment: