Siku moja baada ya Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein kusaini Sheria ya Gesi na Mafuta, Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif Sharif Hamad amesema kitendo hicho kinalenga kuwazuga Watanzania na kuongeza mgongano wa kisheria katika Muungano.


Maalim Seif alisema hayo jana kwenye mkutano na waandishi wa habari uliofanyika ofisi za CUF, Mtendeni kisiwani Unguja.

Rais Shein amesaini sheria hiyo inayoiruhusu Zanzibar kutafuta na kuchimba mafuta kwenye visiwa hivyo.

DOWNLOAD APP YETU YA SWAHIBA NEWS ILI UWEZE KUPATA HABARI ZOTE MOJA KWA MOJA KUPITIA SIMU YAKO YA MKONONI BILA KUINGIA KWENYE WEBSITE,KUDOWNLOAD BONYEZA HAPA  

ANDIKA MAONI YAKO HAPO CHINI
ads
Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya SWAHILI NEWS kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka
Share To:

SWAHIBA MEDIA STAFF

Habari , karibu katika mtandao wetu ili kuhabarika na stori zote za siku katika lugha yetu adhwim ya kiswahili, habarika wakati wote weka dunia kiganjani mwako na swahili news

Post A Comment: