
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi π΅πͺπ΅πͺ
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
Waziri
wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi amekabidhi
polisi majina ya watu 30 wanaodaiwa kuwa matapeli wa ardhi ili
washughulikiwe.
Waziri
huyo amelidokeza gazeti hili kuwa amekabidhi majina hayo kwa Kamanda wa
Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Simon Sirro ambaye alithibitisha
kupokea majina hayo na kwamba tayari yameshafunguliwa majalada kwa ajili
ya upelelezi.
βNi
mapema mno kuzungumzia jambo hili, kwa sababu lipo kwa wapelelezi. Ni
kweli majina haya tumeyapokea na tayari majalada yamefunguliwa,β
alisema.
DOWNLOAD
APP YETU YA SWAHIBA NEWS ILI UWEZE KUPATA HABARI ZOTE MOJA KWA MOJA
KUPITIA SIMU YAKO YA MKONONI BILA KUINGIA KWENYE WEBSITE,KUDOWNLOAD
BONYEZA HAPA
ANDIKA MAONI YAKO HAPO CHINI
Post A Comment: