
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi π΅πͺπ΅πͺ
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
Rais Dkt. John Pombe Magufuli ataungana na viongozi wa mataifa mbalimbali kuhudhuria sherehe za kuapishwa Uhuru Kenyatta kuwa Rais wa Kenya kwa kipindi cha awamu ya pili.
Sherehe hizo zinatarajiwa kufanyika Jumanne Novemba 28, 2017 jijini Nairobi, Kenya.
Katika hatua nyingine Rais Uhuru Kenyatta amemwalika mshindani wake mkuu ambaye ni kiongozi wa NASA Raila Odinga kuhudhuria katika sherehe hizo zilizopangwa kufanyika kwenye Uwanja wa Michezo wa Kimataifa wa Moi, Kasarani.
Katika orodha ya baadhi ya wageni waalikwa wamo Cyrus Jirongo (Joseph Momanyi); Michael Wainaina (Miriam Mutua) na Odinga na mgombea mwenza wake Kalonzo Musyoka.
Katika orodha ya baadhi ya wageni waalikwa wamo Cyrus Jirongo (Joseph Momanyi); Michael Wainaina (Miriam Mutua) na Odinga na mgombea mwenza wake Kalonzo Musyoka.
Post A Comment: