
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi 🇵🇪🇵🇪
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
Klabu ya Arsenal ipo katika hatua nzuri ya kukamilisha mpango wa
kuwasainisha mikataba mipya wachezaji wake Alexis Sanchez na Mesut Ozil
chini ya ushawishi mkubwa unaoendelea kufanywa na meneja Arsene Wenger.
Taarifa zinasema kuwa, Wenger amependekeza wawili hao wasainishwe
mkataba wa miaka miwili, ambayo itakua chachu ya kuanza kulipwa
mishahara minono kutokana na kazi nzuri na kubwa wanayoifanya kwa ajili
ya maendeleo ya Arsenal tangu walipotua klabuni hapo.
Mwishoni mwa juma lililopita Wenger aliwaeleza waandishi wa habari
“Tupo tayari kuvunja benki kwa ajili ya kukamilisha mpango wa kusainiwa
kwa mkataba mpya wa Ozil ambao utamuwezesha kupokea mshahara wa Pauni
250,000 kwa juma.”
Hali kadhali kauli kama hiyo aliitoa alipoulizwa kuhusu maendeleo ya mazungumzo kati ya uongozi wa Arsenal na Sanchez.
Wenger kwa sasa anamalizia muda wa mwaka mmoja uliosalia kwenye
mkataba wake, lakini amekua na matumaini makubwa ya kuwabakisha
wachezaji hao klabuni hapo kwa ajili ya maslahi ya baadae.
DOWNLOAD
APP YETU YA SWAHIBA NEWS ILI UWEZE KUPATA HABARI ZOTE MOJA KWA MOJA
KUPITIA SIMU YAKO YA MKONONI BILA KUINGIA KWENYE WEBSITE,KUDOWNLOAD
BONYEZA HAPA
ANDIKA MAONI YAKO HAPO CHINI
Post A Comment: