
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi 🇵🇪🇵🇪
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
Mkuu wa Wilaya ya
Hai mkoani Kilimanjaro, Gelacius Byakanwa amedaiwa kuibiwa televisheni
ya bapa (flat screen) yenye thamani ya Sh1.5 milioni.
Hata
hivyo, tukio hilo limegubikwa na utata baada ya mkuu huyo wa wilaya
kukana kuibiwa, lakini mlinzi wake ameandikiwa barua ya kujieleza
kutokana na tukio hilo.
Byakanwa
ambaye pia ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya hiyo,
amehoji ni nani aliyeripoti polisi akisisitiza kuwa hakuna tukio kama
hilo. “Mimi sina taarifa labda kama OCD (mkuu wa polisi wa wilaya)
amekuambia. Nani aliripoti? Mie sina taarifa,”amesema.
Katibu Tawala (Das) wa wilaya hiyo kupitia barua yake ya Oktoba 17, anathibitisha kutokea kwa wizi huo Oktoba 7.
Kamanda
wa Polisi Mkoa Kilimanjaro, Wilbroad Mutafungwa alipotafutwa alisema
alikuwa ametingwa na shughuli muhimu na kwamba, akikamilisha
atalizungumzia suala hilo.
DOWNLOAD
APP YETU YA SWAHIBA NEWS ILI UWEZE KUPATA HABARI ZOTE MOJA KWA MOJA
KUPITIA SIMU YAKO YA MKONONI BILA KUINGIA KWENYE WEBSITE,KUDOWNLOAD
BONYEZA HAPA
ANDIKA MAONI YAKO HAPO CHINI
Post A Comment: