
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi 🇵🇪🇵🇪
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
Shirikisho la soka nchini (TFF) limetoa ufafanuzi kuhusu suala la
beki Hassan Kessy kuwa sehemu ya kikosi cha yanga wakati wa mchezo wa
ligi kuu dhidi ya Toto Africans waliokubali kufungwa mabao 2-0.
Afisa habari wa TFF Alfred Lucas amesema Yanga walikua sahihi
kumtumia Kessy kwani hoja ya Simba ni kwamba mchezaji huyo alivunja
mkataba baada ya kusaini kwa mabingwa hao huku akiwa bado na Mkataba na
vinara wa ligi na sio pingamizi la usajili.
Lucas amesema: “Kuna minong’ono kuwa Yanga watakatwa pointi kwa
kumchezesha Kessy hiyo habari sio kweli, Simba inadai beki huyo alivunja
mkataba ila hawakuweka pingamizi kwenye usajili wake kwahiyo ni sahihi
kuendelea kuwatumikia mabingwa hao huku suala lake likiendelea
kushughulikiwa.”
Kwa mujibu wa mkataba wa Simba na beki huyo, Kessy anatakiwa kuilipa
Simba dola 600,000 kwa kuvunja mkataba ambapo TFF limezitaka pande zote
kukutana haraka kumaliza suala hilo.
DOWNLOAD
APP YETU YA SWAHIBA NEWS ILI UWEZE KUPATA HABARI ZOTE MOJA KWA MOJA
KUPITIA SIMU YAKO YA MKONONI BILA KUINGIA KWENYE WEBSITE,KUDOWNLOAD
BONYEZA HAPA
ANDIKA MAONI YAKO HAPO CHINI
Post A Comment: