
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi π΅πͺπ΅πͺ
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
Simba imemtangaza kipa wake Aishi Manula kuwa mchezaji bora wa Novemba wa kikosi hicho.
Manula anachukua nafasi hiyo ya mchezaji bora ambayo hutolewa kila mwezi na uongozi wa Simba.
Uongozi wa Simba umeamua kupitisha mfumo huo ili kuendelea kuwapa motisha wachezaji wake katika kikosi chake ili kuhakikisha wanafanya vizuri zaidi.
Post A Comment: