Simba imemtangaza kipa wake Aishi Manula kuwa mchezaji bora wa Novemba wa kikosi hicho.


Manula anachukua nafasi hiyo ya mchezaji bora ambayo hutolewa kila mwezi na uongozi wa Simba.

Uongozi wa Simba umeamua kupitisha mfumo huo ili kuendelea kuwapa motisha wachezaji wake katika kikosi chake ili kuhakikisha wanafanya vizuri zaidi.
ads
Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya SWAHILI NEWS kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka
Share To:

SWAHIBA MEDIA STAFF

Habari , karibu katika mtandao wetu ili kuhabarika na stori zote za siku katika lugha yetu adhwim ya kiswahili, habarika wakati wote weka dunia kiganjani mwako na swahili news

Post A Comment: