
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi π΅πͺπ΅πͺ
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
KIUNGO na aliyewahi kuwa nahodha wa Simba, Jonas Mkude amewataka wachezaji wenzake kutambua thamani ya kuvaa jezi ya Simba kwa kuhakikisha wanaipigania mpaka wabebe ndoo haswa kutokana na uwekezaji wa Mohammed Dewji βMOβ.
Simba inaongoza msimamo wa ligi kuu kwa kuwa na pointi 23, sawa na Azam FC wakipishana idadi ya mabao ya kufunga na kufungwa.
Mkude ambaye anasimamiwa na meneja, Richard Kiwale, alisema kuwa, kutokana na klabu hiyo kuingia katika mabadiliko ya kimfumo kwa timu kukabidhiwa kwa MO kuna kila sababu ya wachezaji kutambua thamani ya jezi zao.
βMO ni mtu sahihi Simba, niipongeze klabu kuweza kumpatia timu, ni mtu mwenye mapenzi ya dhati ya kuifikisha Simba mbali. Hivyo kutokana na uwepo wake ni vyema kwa wachezaji wajitolee na kucheza kwa moyo wote pia kujua umuhimu na thamani ya jezi ya Simba ili kutwaa ubingwa msimu huu,β alisema Mkude ambaye kabla msimu haujaanza alihusishwa kutaka kujiunga na Yanga.
Post A Comment: