
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi π΅πͺπ΅πͺ
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
Rais John Magufuli
ametoa miezi miwili kwa Shirika la Umeme nchini (Tanesco) kupeleka umeme
wa megawati 10 katika kiwanda cha vinywaji baridi cha kampuni ya
Bakhresa Products Group kilichopo Mkuranga, Pwani.
Rais amesikitishwa na kitendo cha shirika hilo kutochangamkia fursa hasa katika viwanda ambavyo ndio wateja wao wakubwa.
"Nashindwa
kuelewa hvi hawa Tanesco watawezaje kufanya biashara kama hawataki
kuwafikia wateja wao. Nataka kufikia Disemba mwaka huu umeme uwe umefika
hapa," amesema.
Amelitaka
shirika hilo kutambua kipaumbele cha Taifa ambacho ni kuwa ni uchumi wa
viwanda. Amesema viwanda vinahitaji umeme wa kutosha kwasababu
vinasaidia kuzalisha ajira.
DOWNLOAD
APP YETU YA SWAHIBA NEWS ILI UWEZE KUPATA HABARI ZOTE MOJA KWA MOJA
KUPITIA SIMU YAKO YA MKONONI BILA KUINGIA KWENYE WEBSITE,KUDOWNLOAD
BONYEZA HAPA
ANDIKA MAONI YAKO HAPO CHINI
Post A Comment: