
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi 🇵🇪🇵🇪
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
Chama
cha Wananchi (CUF), kimeendelea kudai kuwa mgombea wake wa urais wa
Zanzibar, Maalim Seif Sharrif Hamad alishinda na kunyang’anywa ushindi
katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka jana.
Akizungumza
mjini hapa jana, Maalim Seif ambaye pia ni katibu mkuu wa chama hicho,
amesema hakuna namna yoyote watawala wataweza kuzuia haki ya uamuzi wa
Wazanzibari walioutoa Oktoba 25, 2015, lakini kinachoendelea ni njama za
kuichelewesha.
Maalim
amesema hayo wakati akitoa salamu kwa waumini wa Dini ya Kiislamu
waliofika kwenye ibada ya Ijumaa katika Msikiti wa Biziredi.
CUF wanalalamikia ushindi huo zikiwa zimepita siku 215 tangu uchaguzi wa marudio ulipofanyika Zanzibar.
DOWNLOAD
APP YETU YA SWAHIBA NEWS ILI UWEZE KUPATA HABARI ZOTE MOJA KWA MOJA
KUPITIA SIMU YAKO YA MKONONI BILA KUINGIA KWENYE WEBSITE,KUDOWNLOAD
BONYEZA HAPA
ANDIKA MAONI YAKO HAPO CHINI
Post A Comment: