
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi π΅πͺπ΅πͺ
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
Afrika Kusini imeanzisha mchakato wa kujiondoa kutoka uanachama wa mahakama ya kimataifa ya uhalifu wa kivita.
Wanadiplomasia wa Afrika kusini wamearifu umoja wa mataifa juu ya uamuzi huo na kuilaumu ICC kwa kuzilenga zaidi nchi za Afrika.
Uamuzi wa Afrika kusini kujiondoa ulitokana na shinikizo ilikumbana
nazo mwaka uliopita za kuitaka imkamate rais wa Sudan Omar al Bashir
wakati wa mkutano wa muungano wa nchi za Afrika mjini Johannesburg.
Septemba mwaka jana, mahakama nchini nchini Afrika Kusini iliinyima
serikali ya nchi hiyo ruhusa ya kukata rufaa uamuzi ulioishutumu kwa
kukosa kumkamata Bw Bashir alipohudhuria kongamano hilo mwezi Juni mwaka
2015.
Serikali ilitaka kukata rufaa uamuzi wa Mahakama Kuu ikisema Bashir
alikuwa na kinga ya urais kwa sababu yeye ni kiongozi wa taifa.
Lakini Jaji Hans Fabricius alisema rufaa hiyo haiwezi kufanikisha chochote.
Aliongeza kuwa Afrika Kusini ni mwanachama wa Mkataba wa Roma
uliounda mahakama hiyo, na kwamba mkataba huo unabatilisha sheria zozote
ambazo huenda zingempa kinga Bashir asikamatwe na kushtakiwa.
Chanzo: BBC Swahili.
DOWNLOAD
APP YETU YA SWAHIBA NEWS ILI UWEZE KUPATA HABARI ZOTE MOJA KWA MOJA
KUPITIA SIMU YAKO YA MKONONI BILA KUINGIA KWENYE WEBSITE,KUDOWNLOAD
BONYEZA HAPA
ANDIKA MAONI YAKO HAPO CHINI
Post A Comment: